Pregnancy Aug 12, 2024

Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Medikea Doctor

Medikea Doctor

Medical Expert

5072
Je, ni sawa kufanya ngono wakati wa ujauzito?

Kwa kawaida mwanamke mjamzito anapitia mabadaliko mbalimbali. Mabadiliko hayo yanaweza kuathiri uwezo wa mwanamke kukutana kimwili.

Kama mimba inakuwa bila matatizo yoyote mama ana unaweza kufanya ngono mara nyingi kadri apendanvyo.

Baadhi ya wanawake hamu ya kukutana kimwili hupungua katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito. Hali hii husababishwa na kushuka kwa homoni, uchovu na kichefuchefu.

Miezi mitatu mpaka miezi sita ya ujazito, mtiririko wa damu unaongezeka kwenye viungo vyake vya viuzazi hali ambayo huweza kuamsha hisia za mapenzi.

Lakini kutokana na kuongezeka kwa uzito wa mwili, maumivu ya mgongo na dalili nyingine zinaweza kupunguza tena shauku yake ya ngono.

Kwa wanandoa ni muhimu kutambua kuwa kutokana na mabadiliko hayo kuwa wakati mwanamke anakuwa hayuko tayari kukutana kimwili. Lakini hali hii haitadumu wakati wote wa ujauzito.

Related Articles

Dalili za Mimba Wiki ya Kwanza
Pregnancy

Dalili za Mimba Wiki ya Kwanza

Ujauzito ni mchakato wa kibaiologia ambao unahusisha mabadiliko makubwa katika mwili wa mwanamke. Katika wiki ya kwanza, ...

15345
Feb 25, 2025
Read More
Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito
Pregnancy

Jinsi ya Kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito

Jifunze njia za kupunguza Kichefuchefu na Kutapika wakati wa Ujauzito⁣

9227
Aug 28, 2024
Read More
Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?
Pregnancy

Je ni sawa kuendelea kunyonyesha mtoto wakati una mimba nyingine?

Makala hii inaelezea kwa kina zaidi⁣

7826
Aug 28, 2024
Read More

More Health Insights

Manjano Kwa Watoto Wachanga: Sababu, Dalili za Hatari na Matibabu.
Watoto

Manjano Kwa Watoto Wachanga: Sababu, Dalili za Hatari na Matibabu.

Homa ya Manjano ni nini na inasababishwa na nini?

10365
May 20, 2023
Read More
JE, NI KWELI UNAHITAJI KUNYWA VIDONGE VYA VITAMINI NA “SUPPLEMENTS” KILA SIKU?
Women

JE, NI KWELI UNAHITAJI KUNYWA VIDONGE VYA VITAMINI NA “SUPPLEMENTS” KILA SIKU?

Fahamu ni wakati gani unatakiwa utumie virutubisho hivi

1693
Feb 20, 2024
Read More
Vyakula vitano vinavyosaidia kupunguza kiungulia
Nutrition

Vyakula vitano vinavyosaidia kupunguza kiungulia

Kiungulia ni hali inayotokea kwa watu wengi. Soma makala hii kujifunza zaidi.

13617
Aug 2, 2024
Read More